Lamine Yamal - Winga wa Klabu ya Barcelona
Kylian Mbappe - Mshabuliaji wa Klabu ya Real Madrid
Patrick Aussems - Aliyekuwa Kocha wa Singida Black Stars
Jude Bellingham akihamaki baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu na refa Jose Luis Munuera Montero
Takehiro Tomiyasu - Beki wa Klabu ya Arsenal
Ruben Amorim - Kocha wa Klabu ya Manchester United
Carlo Ancelotti - Kocha wa Real Madrid
Wachezaji Kibu Denis (Simba) na Aziz Ki (Yanga)
Lamine Yamal - Winga wa Klabu ya Barcelona
Enzo Maresca - Kocha wa Chelsea
Pep Guardiola - Kocha wa Manchester City na Earling Haaland
Ruben Amorim Kocha wa Manchester United
Taifa Stars imepoteza michezo yake yote mitatu iliyocheza kwenye michuano ya Mapinduzi ya Zanzibar,hofu imetanda kutokana na Wachezaji ambao wataunda kikosi kitakachoshiriki mashindano ya CHAN wengi wao wametumika katika michuano ya Mapinduzi.
Zikiwa zimesalia siku 6 pekee dirisha dogo la usajili Tanzania bara kufungwa Januari 15/2025 ambalo lilifunguliwa Disemba 15/2024, Jina la Aishi Salum Manula mwenye umri wa miaka 29 ni miongoni mwa wachezaji wa Simba Sc ambao hawajapata nafasi ya kucheza chini ya Kocha wa Fadlu Davids kwenye mechi za ushindani msimu huu kutokana na kiwango bora anachoonesha Moussa Camara raia wa Guinea.
Mchezo wa ndondi unakua kwa haraka nchini Tanzania pamoja na kuongeza Mashabiki wapya kutokana na nguvu kubwa inayotumika kuutangaza mchezo huo.Mafaniko ya Bondia Hassan Mwakinyo yamewafanya Vijana wengi kuuona mchezo wa ndoni kama sehemu ya kuweza kubadili maisha yao na ya Familia zao.
