![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2025/02/18/11E.jpg?itok=KwshqOol×tamp=1739890326)
Carlo Ancelotti - Kocha wa Real Madrid
Pep Guardiola Baada ya ushindi wa 4-0 dhidi ya Newcastle United siku ya Jumamosi alisema Manchester City ina asilimia moja tu katika nafasi ya kufuzu hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya
Ikumbukwe Real Madrid wanaongoza kwa mabao 3-2 dhidi ya Man City ambao wanashika nafasi ya nne katika msimamo wa EPL