
Javier Hernandez 'Chicharito' yupo tayari kurejea Manchester United

Makabidhiano ya jezi kama ishara ya udhamini wa kampuni ya Parimatch katika klabu ya Mbeya City

Kocha Erik Ten Hag akimwelekeza jambo Ronaldo katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayo Vallecano jumapili iliyopita.

Ferdinand Omanyala mwanariadha wa Kenya- mbio fupi za mita mia moja.

Mchezo wa raundi ya kwanza wa Simba na Yanga Dabi ya Kariakoo utachezwa Oktoba 23, 2022

Erling Haaland wa Manchester City na Trent Alexander-Arnold wa Liverpool wakiwa wamepiga goti kabla ya mchezo wa ngao ya jamii.

Max Verstappen dereva wa kampuni ya magari ya Red Bull

kikosi cha ndondi kinachoshiriki michuano ya jumuiya ya madola

Timu ya taifa ya wanawake chini ya miaka 17 ‘Serengeti Girls’

Waziri wa Habari na Teknolojia Nape Nnauye

Abdul Sopu katika akipongezwa na wachezaji wenzake wa Taifa Stars baada ya kufunga goli