Scholastica Kabonge -Ofisa wa masuala ya ulinzi shirikishi na usalama kutoka GGML (katikati), akiwapatia ushauri na uzoefu wake wa kitaaluma wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Geita kama sehemu ya Mpango wa GGML Mentorship Programme.

19 Mar . 2024

Barabara ya Songea – Makambako km 295

18 Mar . 2024

Chakula cha msaada

18 Mar . 2024

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga akizungumza mara baada ya kamati yake na
viongozi mbalimbali kuwasili mkoani Ruvuma kuanza ziara ya Mradi wa Hifadhi Endelevu ya Ardhi katika Bonde la Ziwa Nyasa (SLM-Nyasa) unaotekelezwa na Ofisi ya Makamu wa Rais katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa leo Machi 16, 2024

16 Mar . 2024

Daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) lenye Kilometa 3.2 pamoja na Barabara unganishi ya Kilometa 1.66, linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara - Sengerema - Geita katika Ziwa Victoria.

15 Mar . 2024

Ujumbe wa Tanzania (Kushoto) ukiongozwa na Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (katikati kushoto), na Ujumbe wa Burundi ukiongozwa na Waziri wa Miundombinu na Makazi, Mhe. Dieudonne Dukundane (katikati kulia), wakiwa katika kikao cha pamoja, kilichofanyika jijini Dodoma, kilichojadili kuhusu Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) itakayounganisha nchi hizo mbili.

15 Mar . 2024

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni

14 Mar . 2024

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Tanzania IGP Camillus Wambura

14 Mar . 2024

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa neno wakati wa ufungaji wa mafuzo ya zoezi la utayari dhidi ya dharura za kikemikali na kimionzi Tanzania, katika viwanja vya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Bandarini jijini Dar es Salaam.

14 Mar . 2024

Ofisa Fedha kutoka GGML, Joscar Rumanyika, akifafanua faida za program ya ushauri kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kalangalala. GGML imezindua mpango huo uliopewa jina la ‘GGML Ladies mentorship program’ ikiwa ni sehemu ya wanawake wa kampuni hiyo kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake.

14 Mar . 2024