
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akifafanua kuhusu Kikokotoo wakati akichangia mjadala makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti ya serikali kwa mwaka 2022/2023 Jijini Dodoma.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maaalum, Dkt Dorothy Gwajima

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza, Bw. Richard Tobiko Ole Makoro (kulia) ambaye ni mmoja wa wakazi wapya wa kijiji cha Msomera wilayani Handeni Mkoa wa Tanga waliohamia katika kijiji hicho kutoka Ngorongoro wakati alipofika nyumbani kwa mkazi huyo kujionea mazingira anayoishi, Juni 23, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Ruge Mutahaba Georgia Mutagahywa

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu