Mwonekano wa nje wa vyoo vya shule hiyo

22 Sep . 2023

Makamu wa Rais wa kampuni ya AngloGold Ashanti Tanzania-GGM Simon Shayo kulia akisikiliza maelezo

22 Sep . 2023

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa dini, Serikali, Chama cha Mapinduzi (CCM) na watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma na Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kwenye ukumbi wa NSSF, Kigoma mjini

22 Sep . 2023

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo akitoa maelekezo kwa Mamlaka za udhibiti zilizopo maeneo ya mipaka mbalimbali nchini alipokutana na wanahabari jijini Dodoma Septemba 22, 2023.

22 Sep . 2023

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu Dkt, Jim Yonazi akizungumza na Mhandisi wa TANESCO, Richard Kafura Wakati akikagua mfumo wa ujenzi wa miundo mbinu ya Umeme katika Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma.

22 Sep . 2023

Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Utalii, Xiana Mendez akiwa na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba

21 Sep . 2023

Mkuu wa mkoa wa Geita, Martin Shigella (kushoto) akiteta jambo na Meneja Mwandamizi wa GGML anayeshughulia mahusiano ya jamii, Gilbert Mworia (katikati) katika viwanja vya Bombambili Geita kunakofanyika maonesho ya teknolojia ya madini Geita. Kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi.

21 Sep . 2023

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbuga, Jimbo la Kibakwe, Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma

21 Sep . 2023