Kanye West amesema pesa si suluhisho la kila kitu, bali ni mfumo ulioundwa na binadamu na watu wameaminishwa kuufuata.
Kanye West anasema, “Kama pesa ndiyo jibu la matatizo yote, kwa nini zisichapishwe nyingi ili kila mtu apate?”
Pia ameufananisha mfumo wa sasa na Dola ya Roma na meli ya Titanic, akidai unawalinda wachache wenye nguvu huku ukiwafanya wengi waendelee kuamini kuwa utajiri na umaarufu ndiyo kipimo cha mafanikio.






