
Kylian Mbappe - Mshabuliaji wa Klabu ya Real Madrid
Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 26 mpaka sasa amefunga magoli 360 na assist 142 katika ngazi ya klabu na timu ya Taifa
Aidha, Mbappe anakuwa mchezaji wa 6 kufunga hat trick dhidi ya timu inayofundishwa na Pep Guardiola
Wakwanza kufanya hivyo alikuwa Sergio Aguero 2014, Lionel Messi 2016, Jamie Vardy alifanya mara mbili 2016 na 2020, Christopher Nkunku 2021, Viktor Gyokeres 2024 na Mbappe amefanya hivyo jana 2025
Mbappe amefanya hiivyo jana kwenye ushindi wa 3-1 walioupata Madrid dhidi ya Man City.