Wanakikundi cha kijamii

10 Oct . 2024

Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars leo Oktoba 10,2024 itashuka dimbani ugenini dhidi ya Congo DRC kweye mchezo wa kufuzu mashindano ya AFCON itakayofanyika nchini Morocco 2025. Stars itaingia kwenye mchezo huu ikichagizwa na urejeo wa Nahodha wa timu Mbwana Samatta ambaye alikosekana katika michezo miwili iliyopita ya timu ya taifa.

10 Oct . 2024

Klabu ya Coastal Union ya mkoani Tanga imehamia mkoani Arusha na itatumia uwanja wa itaufanya uwanja wa Sheik Amri Abedi kuwa uwanja wake wa nyumbani kwenye michezo ya ligi kuu Tanzania bara kipindi chote ambacho uwanja wa Mkwakwani unaendelea kufanyiwa matengenezo. Awali timu hiyo Mabingwa wa ligi kuu ya Tanzania bara mwaka 1988 ilikua inautumia uwanja wa KMC Complex kama uwanja wake wa nyumbani.

10 Oct . 2024

Jina Beki kisiki wa klabu ya Arsenal ya Uingereza limeibuka kwenye listi ya Florentino Perez Real ambao anataka kuwasajili pindi dirisha kubwa litakapofunguliwa majira ya kiangazi, William Saliba anatajwa kama mmoja wa Walinzi bora wa kati kwa sasa Duniani Raisi wa Los Blancos anaona Saliba atakuwa tiba ya safu ya Ulinzi ya mabingwa hao watetezi wa La Liga kwa muda mrefu

10 Oct . 2024

Dkt. John Rwegasha(kulia) akiwlwza namna ufunguzi wa maonesho ya vifaa tiba ya Medexpo yatakavyosaidi katika kuhamasisha kupambana na upungufu wa vifaa tiba kwenye vituo vya huduma za afya.

9 Oct . 2024

Raisi TARA akihutubia katika kongamano lililofanyika Arusha hii leo

9 Oct . 2024

Rais wa 16 wa Marekani, Abraham Lincoln

9 Oct . 2024

Beki wa Simba Che Malone Fondo amezungumzia mchezo wa dabi Oktoba 19, 2024 dhidi ya Yanga kwa kusema Wapinzani Wao wanaubora maeneo mengi ndani ya uwanja hivyo kufanya mechi baina yao kutokua rahisi, Che Malone ni mmoja wa Wachezaji wa kutumainiwa kwenye kikosi cha Wekundu wa Msimbazi anafahamu umuhimu wa kushinda mchezo huo kwani wakipoteza watakua wamefungwa kwenye mechi nne mfululizo dhidi ya Yanga

9 Oct . 2024

Waziri wa Madini Anthony Mavunde

9 Oct . 2024

Jurgen Klopp mwenye umri wa miaka 57 amekubali kurejea kwenye soka lakini kwa kubadili majukumu yake ambapo kocha huyo wa zamani wa vilabu vya Mainz 05,Borrusia Dortmund na Liverpool ataanza kutekeleza majuku yake mapya Januari 1, 2025

9 Oct . 2024

Picha ya Mamba (kutoka mtandaoni)

9 Oct . 2024

Naibu wa Rais Rigathi Gachagua

8 Oct . 2024