Wawili washikiliwa tukio la mlipuko wa bomu Arusha

Mkurugenzi wa makosa ya jinai nchini Tanzania DCI Issaya Mngulu.

Jeshi la Polisi nchini Tanzania linawashikilia watu wawili, kuhusiana na mlipuko uliotokea katika mgahawa karibu na viwanja vya Gymkhana na Mahakama Kuu Jijini Arusha jana usiku ambapo watu wanane wamejeruhiwa vibaya huku mmoja akiwa mahututi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS