Wahamiaji wengi nchini wanatokea Burundi-serikali
Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania imesema kumekuwa na ongezeko kubwa la wahamiaji haramu nchini kutoka katika nchi mbalimbali za Afrika Mashariki huku nchi ya Burundi ikiongoza kutokana na mahitaji mbalimbali ikiwa ni pamoja na ya kijamii.

