Watumishi wa umma badilikeni - Pindi Chana

Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Mhe. Pindi Chana.

Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Mhe. Pindi Chana amewataka watumishi wa umma kubadilika kiutendaji kutokana na mabadilio ya Sayansi na Teknolojia na kuacha kufanya kazi kwa mazoea.

Ameyasema hayo mjini Dodoma wakati wa uzinduzi wa baraza kuu la tatu la wafanyakazi. Kwa niaba ya Celina Kombani, Chana amesema kuwa watumishi wa Umma wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ya kuwapo kwa kukua kwa tekinolojia ambapo watu wengi wanao watumikia wanazijua sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS