TFF yamlilia Balozi wa Malawi

Marehemu Balozi Gomile-Chidyaonga, aliyekuwa balozi wa Malawi nchini Tanzania

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha Balozi wa Malawi nchini, Flossie Gomile-Chidyaonga kilichotokea juzi (Mei 9 mwaka huu) jijini Dar es Salaam, kwani alikuwa ni mdau mkubwa wa soka la Tanzania

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS