Anto NeoSoul kutua Bongo Mwanamuziki Anto NeoSoul wa nchini Kenya Baada ya kukonga nyoyo za mashabiki wa muziki mjini Mombasa nchini Kenya, Mwimbaji Anto NeoSoul anaendelea na ziara yake ya muziki ya Afrika Mashariki ambapo hivi sasa anajiandaa kutua nchini Tanzania. Read more about Anto NeoSoul kutua Bongo