Anto NeoSoul kutua Bongo

Mwanamuziki Anto NeoSoul wa nchini Kenya

Baada ya kukonga nyoyo za mashabiki wa muziki mjini Mombasa nchini Kenya, Mwimbaji Anto NeoSoul anaendelea na ziara yake ya muziki ya Afrika Mashariki ambapo hivi sasa anajiandaa kutua nchini Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS