Kiwango cha mfumuko wa bei chaanza kupungua

Mkurugenzi wa sensa na takwimu za kijamii wa ofisi ya taifa ya takwimu Bw. Ephraim Kwesigabo.

Ofisi ya taifa ya takwimu nchini Tanzania leo imetoa taarifa ya kiwango cha mfumuko wa bei kwa kipindi cha mwezi Juni mwaka huu huku ikionesha kuwa mfumuko wa bei umeanza kushuka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS