Izzo awakumbuka Walala hoi

Msanii wa bongo Izzo Bizness

Msanii wa miondoko ya Bongofleva nchini Tanzania Izzo Bisnezz hivi sasa ameamua kuupa muziki wa mapenzi kisogo na kuungana na nyimbo za kuwalenga watu ambao ni wa hali ya chini kwa kutoa traki mpya aliyoibatiza jina 'Walala hoi'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS