Izzo awakumbuka Walala hoi
Msanii wa miondoko ya Bongofleva nchini Tanzania Izzo Bisnezz hivi sasa ameamua kuupa muziki wa mapenzi kisogo na kuungana na nyimbo za kuwalenga watu ambao ni wa hali ya chini kwa kutoa traki mpya aliyoibatiza jina 'Walala hoi'.

