NIMR kufanya utafiti homa hatari ya Dengue

Mkurugenzi mkuu wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu nchini Tanzania, NIMR, Dkt Mwele Malecela.

Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu nchini Tanzania NIMR leo imetangaza kuanza mara moja kwa utafiti wa ugonjwa wa homa ya Dengue katika jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine nane ya hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS