Polisi Ghana watafuta mwili wa Castro Msanii wa nchini Ghana Castro Polisi nchini Ghana wanaendelea kuutafuta mwili wa mwanamuziki wa miondoko ya Afrobeats aitwaye Castro na mpenzi wake kufuatia tukio la ajali ya boti ndogo waliyokuwamo. Read more about Polisi Ghana watafuta mwili wa Castro