Uhalifu bado changamoto Kusini mwa Afrika -SAPCCO

Mkuu wa Polisi nchini Tanzania IGP Ernest Mangu.

Umoja wa Majeshi ya polisi kwa nchi zilizo Kusini mwa Afrika (SAPCCO) umesema nchi zilizo chini ya umoja huo bado zinakabiliwa na uhalifu unaotokana na uhamiaji haramu pamoja na usafirishaji wa dawa za kulevya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS