"Msiwanyime Elimu wenye ulemavu"

Tunu Pinda, mke wa Waziri mkuu wa Tanzania

Mke wa waziri mkuu wa Tanzania Mama Tunu Pinda amewataka wazazi hapa nchini wenye watoto wenye ulemavu wa ngozi wasiogope kuwapeleka watoto hao shule kwa ajili ya kujiendeleza kielimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS