Mbunge ataka Arusha iwe kanda maalumu ya Kipolisi

Mkuu wa polisi nchini IGP Ernest Mangu.

Mbunge wa viti maaluma Arusha Catherine Magege ameiomba serikali kuanzisha kanda maalumu ya kipolisi kwa jiji la Arusha ili kuimarisha ulinzi ambao umekuwa ukizorota siku hadi siku huku maisha wa wakazi wake yakiwa hatarini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS