Watuhumiwa kesi ya ugaidi waomba hati ya mashtaka Watuhumiwa wanaokabiliwa na kesi mbili tofauti ikiwemo wanaodaiwa kushawishi vijana kujiunga na kikundi cha kigaidi cha al shabaab, leo wameiomba Mahakama kuwapa hati ya mashitaka yanayowakabili. Read more about Watuhumiwa kesi ya ugaidi waomba hati ya mashtaka