Rose Muhando kuzindua albam Agosti

Mwimbaji wa muziki wa injili Tanzania Rose Muhando

Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando, utafanyika Agosti 3, mwaka huu Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS