Rose Muhando kuzindua albam Agosti Mwimbaji wa muziki wa injili Tanzania Rose Muhando Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando, utafanyika Agosti 3, mwaka huu Jijini Dar es Salaam. Read more about Rose Muhando kuzindua albam Agosti