Castro na mpenzi wake wafa maji

Msanii wa muziki wa Ghana Castro na mpenzi wake

Ghana imepata pigo la kuondokewa na msanii maarufu wa muziki nchini humo Theophilus Tagoe a.k.a Castro ambaye amefariki katika ufukwe uitwao Aqua safari beach wakati akimwokoa mpenzi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS