Vanessa awangojea Sauti Sol

Msanii wa muziki nchini Tanzania Vanessa Mdee

Msanii wa muziki wa kike wa miondoko ya Afro Pop nchini Vanessa Mdee aliyetwaa tuzo ya Kili Music kwa mwaka huu kwa wimbo wake 'Hawajui' yupo mbioni kufanya kolabo na kundi la Sauti Sol nchini Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS