Tanzania yaiomba Uingereza kurejesha safari za BA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Bernard Kamilius Membe.

Serikali ya Tanzania imeiomba serikali ya uingereza kulirudisha shirika la ndege la British Airways ili lianze tena safari zake hapa nchini ili kusaidia kukuza biashara na utalii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS