Anto Neosoul, Just A Band wala shavu
Wasanii wa muziki wa nchini Kenya, akiwepo Anthomy Mwangi, maarufu kama Anto Neosoul, Wangechi na Just A Band, kutokana na kujituma na mafanikio makubwa katika kazi zao za muziki, wameweza kukubalika na kuvutia chombo cha habari cha kimataifa.