Kambi Serengeti Boyz yampa matumaini kocha
Kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa ya vijana ya Tanzania wenye umri chini ya miaka 17 Serengeti Boyz Hababuu Ally amepongeza mazingira mazuri ya kambi ya timu hiyo, maandalizi na ushirikiano mkubwa wanaopata toka shirikisho la soka nchini TFF
