TMA yatoa tahadhari kuhusu upepo mkali

Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya hali ya hewa nchini Tanzania (TMA) Dkt Agnes Kijazi.

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA) imeendelea kutoa tahadhairi kwa wakazi wa ukanda wa Pwani wa bahari ya hindi kufuatia upepo mkali unaovuma kwa kasi ya kilometa 40 kwa saa pamoja na mawimbi ya zaidi ya mita mbili katika bahari hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS