Msigwa aanika 'uozo' vitalu vya uwindaji

Waziri Kivuli wa Maliasili na utalii, Mchungaji Peter Msigwa.

Waziri kivuli wa maliasili na utalii mchungaji Peter Msigwa ameonesha mkanda wa video na kuanika kile alichookiita kuwa ni uozo na ukiukwaji mkubwa wa sheria ya wanyama pori unaofanywa kupitia vitalu vya uwindaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS