Serikali kuanzisha mamlaka mpya ya wanyamapori

Waziri wa maliasili na utalii nchini Tanzania, Lazaro Nyalandu.

Waziri wa Mali asili na Utalii nchini Tanzania Lazaro Nyalandu amesema hadi kufikia mwisho wa mwezi ujao serikali itakuwa imeajiri jumla ya askari wa wanyamapori 430 kwa lengo la kukabiliana na ujangili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS