Bebe adaiwa kutafuta kiki kwa matukio

Msanii Bebe Cool wa Uganda akiwa na mkewe Zuena

Tukio la ajali ya gari ambalo limeripotiwa kumhusisha msanii Bebe Cool katika barabara ya Entebbe, limetajwa kuwa ni mpango ambao umetengenezwa kwaajili ya kuvuta watu katika onyesho la “Best of Bebe Cool” litakalofanyika hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS