Mwananyamala na Uhaba wa Vipimo

Mbu ambaye anadaiwa kuambukiza homa hatari ya dengue.

Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam, inakabiliwa na uhaba wa vipimo vya ugonjwa wa dengue, vipimo ambavyo vinapatikana kwa uchache katika kituo maalum cha Utafiti kilichojengwa kwa muda na taasisi ya Ifakara Health Institute.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS