“Nimechoka” yamng'arisha Doris
Akiwa amejiunga na Lebo maarufu ya muziki nchini Kenya Calif Records msanii ambaye pia ni muigizaji filamu nchini Kenya Doris Achieng aka Dohr ameendelea kung'aa katika chati baada ya kutoa wimbo wake mpya alioubatiza jina "Nimechoka".

