Wanafunzi wa moja ya shule zilizopo wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga nchini Tanzania
Baadhi ya wadau wa elimu nchini Tanzania wamezidi kuupigia kelele mfumo wa elimu Tanzania, huku wakitupia lawama kwa mpangao wa Matokeo Makubwa Sasa kwa kutoweka ushindani unaotakiwa.