Vijana wametakiwa wajitume ili waweze kujiajiri

Katibu mkuu wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel (kushoto). Ofisi yake ina jukumu la kuandaa mazingira mazuri kwa vijana wabuni ajira.

Vijana wanaomaliza elimu ya juu nchini Tanzania wameshauriwa kuwa na mbinu mbadala ambazo zitawezesha kujiajiri badala ya kukaa vijiweni na kuisubiri serikali kuwapatia ajira jambo ambalo limeelezwa kupita na wakati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS