JK aifariji Nigeria kwa kukabiliwa na Ugaidi

Rais Kikwete na Rais Goodluck Jonathan wakiwa kwenye moja ya vikao vya mkutano wa Uchumi kwa bara la Afrika nchini Nigeria

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Mei 8, 2014, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Nigeria, Mheshimiwa Goodluck Jonathan katika mjini Abuja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS