Tanzania bado inakabiliwa na umaskini - Serikali Waziri wa fedha na uchumi Bi. Saada Mkuya Salum. Serikali ya Tanzania imesema kiwango cha umasikini wa mahitaji ya msingi kwa Tanzania Bara kimeendelea kuwa chini kwa asilimia 28 ikiwa ni pamoja na uhitaji wa chakula kwa wakazi wa mijini. Read more about Tanzania bado inakabiliwa na umaskini - Serikali