Watumishi watakiwa kuwasilisha taarifa sahihi

Waziri wa nchi ofisi ya rais menejimenti ya utumishi wa umma Bi. Celina Kombani.

Watumishi wa serikali wamekumbushwa kutoa taarifa sahihi na zisizopingana katika mfumo wa uandikishwaji wa kielektroniki unaotumiwa na wizara wakati wa malipo mbali mbali yanayofanywa kwa watumishi hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS