Wanaochafua maadili kukiona TZ Mh. Juma Mkamia Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia, ametangaza hatua za serikali kupambana na mmomonyoko wa maadili katika sanaa, kwa kufuta usajili kwa baadhi ya makundi ya burudani nchini. Read more about Wanaochafua maadili kukiona TZ