RT kuwapima waliokwenda nje kujiandaa madola

Wanariadha wa Tanzania wakichuana katika michuano ya taifa msimu uliopita.

Michuano ya Taifa ya riadha itakayoshirikisha mikoa yote Tanzania bara na visiwani inataraji kuwapa changamoto wanariadha wa Tanzania walioko nje ya nchi wakifanya mazoezi ya kujiandaa na michuano ya madola 2014

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS