NHIF yafikiria kutoa bima ya afya kwa walemavu

Aliyewahi kuwa mbunge wa Busega Raphael Chegeni akisalimiana na aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Edward Lowassa.

Mfuko wa Bima ya Afya nchini Tanzania umesema changamoto inayoukabili mfuko huo hivi sasa ni jinsi ya kuhakikisha inatoa huduma hiyo kwa kundi la watu wasio na uwezo pamoja na wale wenye mahitaji maalumu wakiwemo wazee na watu wenye ulemavu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS