Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, Jerry Slaa.
Watanzania wametakiwa kujijengea tabia ya kuwa na bima za afya ili ziwawezeshe kupata huduma za matibabu kwa njia rahisi hata pale wanapokuwa hawana fedha taslimu mkononi na kuweza kuokoa afya zao.