Nyilawila akabidhiwa UBO, Mbelwa aadhibiwa

Mabondia Karama Nyilawila kushoto na Said Mbelwa kulia wakiwa na mwamuzi wa pambano lao la UBO Anthony Rutha.

Kufuatia kucheza mchezo usio wa kiungwana dhidi ya bondia Nyilawila PST imemwadhibu bondia Mbelwa na imemtangaza Nyilawila kuwa ndiye mshindi wa mapambano wa kimataifa wa UBO na kumkabidhi mkanda huo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS