Wambura awataka viongozi Simba kumaliza Migogoro
Aliyekuwa mgombea wa urais wa klabu ya simba ya jijini DSM Michael Wambura leo ameutaka uongozi wa klabu ya hiyo kukaa na wanachama wake 69 iliyowasimamisha uanachama ili kumaliza mgogoro uliopo katika klabu hiyo.

