Wambura awataka viongozi Simba kumaliza Migogoro

Baadhi ya Wanachama na Mashabiki wa Klabu ya Simba wakiangalia moja kati ya mechi za timu hiyo.

Aliyekuwa mgombea wa urais wa klabu ya simba ya jijini DSM Michael Wambura leo ameutaka uongozi wa klabu ya hiyo kukaa na wanachama wake 69 iliyowasimamisha uanachama ili kumaliza mgogoro uliopo katika klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS