Serengeti Boys yaingia kambini

Kikosi cha Serengeti Boys

Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya umri wa Miaka 17 (Serengeti Boys) imeingia kambini leo kujiandaa na mechi ya kuwania kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana zitakazofanyika mwakani nchini Niger dhidi ya Afrika Kusini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS