Siasa tishio kwa mchakato wa katiba - Jaji Bomani
Kuwepo kwa malumbano ya kimaslahi baina ya Chama Tawala na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA, kumetajwa kuwa ni kikwazo kitakachosababisha kutokuwepo kwa muafaka wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

