Siasa tishio kwa mchakato wa katiba - Jaji Bomani

Mwanasheria mkuu mstaafu wa serikali Jaji mstaafu Mark Bomani (wa kwanza kulia) akiwa katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi karibuni.

Kuwepo kwa malumbano ya kimaslahi baina ya Chama Tawala na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA, kumetajwa kuwa ni kikwazo kitakachosababisha kutokuwepo kwa muafaka wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS