Gordon Brown aipongeza TZ katika Elimu Rais Kikwete akiwa na waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Gordon Brown Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Gordon Brown ameisifu na kuipongeza Tanzania kwa kufanya vizuri katika bara la Afrika kwa uandikishaji watoto shule. Read more about Gordon Brown aipongeza TZ katika Elimu