Baadhi ya wachezaji wa Timu za Mkoa wa Dar es salaam wakichuana katika moja ya mchezo wa Ligi ya Mkoa Msimu Uliopita
Timu shiriki za michuano ya ligi ya mpira wa kikapu mkoa wa Dar es salaam nchini Tanzania (RBA) zimetakiwa kukamilisha malipo kabla ya Julai 31 ili ziweze kushiriki michuano hiyo.