Msemaji wa manispaa ya Kinondoni, Sebastian Mhowera (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo hivi karibuni.
Wakazi wa Jiji la Dar-es-Salaam wanaotumia kituo cha daladala cha Mwenge wamejikuta katika adha kubwa ya usafiri baada ya kituo hicho kuzuiwa kutumika na kuhamishiwa Makumbusho.