RBA imevitaka vilabu kujisajili na Ligi ya Mkoa

Baadhi ya wachezaji wa Timu za Mkoa wa Dar es salaam wakichuana katika moja ya mchezo wa Ligi ya Mkoa Msimu Uliopita

Timu shiriki za michuano ya ligi ya mpira wa kikapu mkoa wa Dar es salaam nchini Tanzania (RBA) zimetakiwa kukamilisha malipo kabla ya Julai 31 ili ziweze kushiriki michuano hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS