Maoni kuhusu kufungwa kwa kituo cha mabasi Mwenge

Msemaji wa manispaa ya Kinondoni, Sebastian Mhowera (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo hivi karibuni.

Wakazi wa Jiji la Dar-es-Salaam wanaotumia kituo cha daladala cha Mwenge wamejikuta katika adha kubwa ya usafiri baada ya kituo hicho kuzuiwa kutumika na kuhamishiwa Makumbusho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS