Wizara kushughulikia madini ya Floride kwenye maji
Wizara ya Maji nchini Tanzania imeanza kutekeleza mpango wa kupunguza madini ya Floride katika maji yaliyo na kiwango kikubwa cha madini hayo katika mikoa ya Kaskazini ili kupunguza athari zinazowapata wakazi wa mikoa hiyo kutokana na madini hayo.

