Jeneza lenye mwili wa Rachel muda mfupi kabla ya maziko katika makaburi ya Kinondoni.
Aliyekuwa msanii wa filamu Bongo, Marehemu Rachel Haule amezikwa leo katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam baada ya shughuli ya kutoa heshima za mwisho iliyofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club.