Sauti Soul kula shavu Afrika Kusini

Sauti Sol wakiperform kwenye jukwaa la muziki

Kundi maarufu la muziki la Sauti Sol nchini Kenya linatarajia kutumbuiza katika tamasha la utoaji tuzo za muziki za Africa Music Awards litakalofanyika jijini Durban nchini Afrika Kusini tarehe 7 ya mwezi huu wa Juni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS