Maximo kuinoa Yanga

Mamia ya wanachama wa Yanga waliojitokeza katika mkutano mkuu uliofanyika leo katika ukumbi wa bwalo la polisi Oysterbay.

Mkutano mkuu wa wanachama wa klabu ya yanga umekutana leo jijini DSM na kufanya marekebisho katika baadi ya vipengele vya katiba ya klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS