Tenga kusimamia mfuko wa maendeleo ya soka TFF Rais wa zamani wa TFF Leodgar Tenga Rais wa zamani wa TFF Leodgar Tenga ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa mfuko maalum wa maendeleo ya soka utakaoanzishwa hivi karibuni na shirikio la soka Tanzania TFF. Read more about Tenga kusimamia mfuko wa maendeleo ya soka TFF