Vifo vya mama na mtoto vyapungua Tanzania

Rais Jakaya Kikwete, waziri mkuu wa Canada Stephen Harper na katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki-Moon katika mkutano na wanahabari Toronto Canada

Tanzania imefanikiwa kufanikisha lengo la kupunguza vifo vya watoto kama yalivyoainishwa na Umoja wa Mataifa kwa juhudi za Serikali, familia na jamii kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS