DART yakiri changamoto matumizi ya barabara

Baadhi ya barabara za jiji la Dar es Salaam zitakavyokuwa pindi mradi wa mabasi yaendayo haraka wa DART utakavyokamilika.

Mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania (DART) umekiri kuwepo kwa changamoto kubwa kwa watumiaji wa barabara jijini Dar es Salaam mara baada ya kubadilishwa kwa uelekeo katika matumizi ya barabara kati kati ya jiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS