Wazazi Watakiwa Kuruhusu Watoto Kushiriki Michezo

Timu za Mpira wa Wavu zikipambana katika moja ya mchezo uliofanyika jijini Dar es salaam

Kocha wa vijana chipukizi wanaotarajiwa kushiriki michuano ya mpira wa wavu ya klabu bingwa ya mkoa wa Dar es salaam na ile ya shule za sekondari kutoka nchi za Afrika Mashariki Yusuph Mkarambati amesema kuna changamoto ya mahudhurio kwa wachezaji

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS