Wazazi Watakiwa Kuruhusu Watoto Kushiriki Michezo
Kocha wa vijana chipukizi wanaotarajiwa kushiriki michuano ya mpira wa wavu ya klabu bingwa ya mkoa wa Dar es salaam na ile ya shule za sekondari kutoka nchi za Afrika Mashariki Yusuph Mkarambati amesema kuna changamoto ya mahudhurio kwa wachezaji

