Hali ya uchumi wa Tanzania kujulikana kesho Waziri mkuu wa Tanzania mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda. Benki ya dunia ofisi ya Tanzania kesho inazindua ripoti ya hali ya uchumi nchini ambapo waziri mkuu Mizengo Pinda atakuwa mgeni rasmi. Read more about Hali ya uchumi wa Tanzania kujulikana kesho