Yemi ajitangaza Afrika Mashariki
Msanii mkali wa muziki kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade ambaye kwa sasa anafanya vizuri katika chati mbalimbali Afrika Mashariki kupitia ngoma yake ya Johnnie, ametua nchini Kenya akiwa katika ziara yenye lengo la kuimarisha soko la muziki wake.

