TFF yasema uchaguzi Simba ruksa June 29

Rais wa TFF Jamal Malinzi akizungumza katika moja ya mikutano yake na waandishi wa habari.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) baada ya kupokea na kuzingatia maombi ya Simba, na kwa kuzingatia Ibara ya 26 ya Kanuni za Uchaguzi za TFF toleo la 2013 limeiruhusu klabu hiyo kuendelea na mchakato wa uchaguzi wao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS