Kuenguliwa Wambura wanachama Simba watofautiana

Aliyekua mgombea urais wa klabu ya Simba Michael Wambura wakati huo akirudhisha fomu za kuwania nafasi hiyo.

Baadhi ya wanachama wameonesha kukerwa na maamuzi ya kamati ya rufani ya uchaguzi ya TFF kwa kuikataa rufaa ya Wambura Michael huku baadhi yao wakisema haki imetendeka na wakimtaka mgombea huyo kuheshimu maamuzi ili kuleta amani klabuni hapo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS