Burna Boy aula Nigeria

Msanii wa muziki nchini Nigeria, Burna Boy

Msanii Burna Boy wa nchini Nigeria anatarajia kutumbuiza katika tamasha maarufu la muziki wa Reggae liitwalo The Annual Reggae Sumfest litakalofanyika mwezi July mwaka huu huko Montego Bay, nchini Jamaica.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS