Miss Tanga kupatikana kesho

Washiriki wa shindano la Miss Tanga 2014

Shindano kubwa kabisa la urembo la Nice and Lovely Miss Tanga 2014, ambalo litafanyika siku ya kesho Mkonge Hotel huko jijini Tanga, linatarajiwa kubarikiwa na Mkuu wa Mkoa, Luteni mstaafu Chiku Gallawa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS