Leo ni siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani.

Keneth Simbaya Rais wa Muungano wa vyombo vya Habari Tanzania UTPC.

Leo ni siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari duniani na Tanzania inaungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha siku hii huku wito ukitolewa kwa waandishi wa habari kupigania sheria ya kulinda uhuru wa vyombo vya habari Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS