Tanzania bado ina idadi kubwa ya wakimbizi-wizara Msemaji wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi, Isaac Nantanga. Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Wakimbizi Duniani takwimu zinaonyesha watu wapatao milioni 43 duniani kote wamelazimika kuhama makazi yao kwa sababu ya vita na majanga ya asili. Read more about Tanzania bado ina idadi kubwa ya wakimbizi-wizara