EU waridhishwa na mchakato wa katiba mpya
Balozi wa jumuiya ya Ulaya nchini Tanzania, Filiberto Cerian Sebregondi amesema jumuiya hiyo inaridhishwa na mchakato wa katiba unavyoendelea hivi sasa na kwamba tofauti zilizojitokeza katika bunge maalumu la katiba zinaweza kumalizwa kwa mazungumzo.