Dr. Hilderman aomba radhi wakristo Msanii wa Uganda Dr. Hilderman Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Dr. Hilderman amewaomba radhi waamini wa dini ya kikristo nchini Uganda, baada ya kitendo chake cha kutumia mavazi maalum yanayovaliwa na maaskofu. Read more about Dr. Hilderman aomba radhi wakristo