Dr. Hilderman aomba radhi wakristo

Msanii wa Uganda Dr. Hilderman

Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Dr. Hilderman amewaomba radhi waamini wa dini ya kikristo nchini Uganda, baada ya kitendo chake cha kutumia mavazi maalum yanayovaliwa na maaskofu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS